Monday, April 16, 2012

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU STEVEN KANUMBA(THE GREAT)

Mashabiki wa marehemu Steven Kanumba wakiendelea kumiminika.
Kila binadamu aliyepewa pumzi kutoka kwa mungu aliyeumba mbingu na ardhi basi nafsi yake itaonja umauti.Kanumba ametangulia na sisi tuko nyuma yako tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi,Hapa ni viwanja vya leaders club ndipo alipopewa heshima ya mwisho marehemu Steven Kanumba na wasanii wenzake wa Bongo Movie na viongozi wa nchi yetu ya Tanzania. Mungu ailaze roho ya marehemu maari pema peponi Amina

Muheshimiwa Sugu mbunge wa Mbeya mjini akiwasili kwenye viwanja vya leaders tayari kwa kumuaga marehemu Steven  
Ben Branco(aliyevaa t sheti nyeupe) miongoni waliocheza Filamu nyingi za marehem
Hemedy Sulemani.
Mheshimiwa Nchimbi akiwa na Riz One Kikwete(katikati)
na Iddi Azani Mbunge wa Kinondoni wakisubili mwili wa marehumu kuwasili
 Maojiano yakiendelea.
Camera man/Editor wa Kanumba The Great akiojiwa juu ya msiba aliyekuwa bosi wake.
 Monalisa ni msanii aliyekuwa anamkubari marehemu.
 Rose Ndauka akuaamini kilichotokea
Mwili wa marehemu ukiwasili kwenye viwanja vya leaders.
Mama wa marehemu akilia kwa uchungu baada ya mwili wa marehemu ulipowasili.
 The Greatest akiwa makini kusikiliza kinachoendelea.
 Mashabiki wa marehemu wakiwa kwenye majozi makubwa.
The Greatest akiwa makini kufuatilia msiba.
 Baadhi ya wana kamati wakiwa kwenye majozi.
 Wasanii waliobeba mwili wa marehemu.
Mama wa marehemu wa kwanza kushoto akiwa na baadhi ndugu wa marehemu.
Richie na JB wakiteta.
 Ratiba zikiendeleya.
aada ya eshima ya mwisho mwili wa marehemu uliondoka viwanja vya leaders na kuelekea makaburini.
 Gari la maiti likielekea makaburini.
Hii ndiyo nyumba ya milele ya marehemu
Hii ndo safari ya mwisho ya marehemu Steven Kanumba.
Mheshimiwa Nchimbi akiongea jambo fulani.
Wananchi wakiwa eneo la tukio lakin hakuna alieamini kwamba jeneza lililo mbele ytao ni la  yule yule Steven Charles Kanumba "The Great" kipewnzi cha wengi..  
MUNGU ALITOA NA MUNGU ALITWAA.. JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.. AMIN!!!

No comments:

Post a Comment

Pages